Tonalidad: Ab major
Verse 1
F
Bb
Iyee iyeee iyee iyee
F
C
Iyee iyee mmhhh
Verse 2
F
Bb
Maisha yangu yanawewe
C
Tumaini la moyo,
F
kwako mim nimeliweka
Bb
F
Msaada Wa karibu bwana
C
Nitakusifu wewe tu
F
nanitakutuza
Bb
Nitapolemewa na mizigo
F
Magonjwa na mateso sina
Bb
F
C
F
wasiwasi tena
Bb
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
F
Gongo lako na fimbo yako
vinanifariji bwana
C
Verse 3
F
Umenifanya wa thamani umenitoa
F
Umenikung'uta mavumbii
C
ukanibariki
F
Bb
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
F
Niliyekuwa sifai, umenibariki
C
Verse 4
F
Only you (only you)
Bb
Only you (Jesus)
F
Elishadai (Only you)
C
Oh yeah (My God)
F
Adonai (only you)
Bb
Only you Jesus (Jesus)
F
Ni wewe unanitoa dhambi (only you)
C
Ni wewe unaefaa (my God)
F
Bb
F
C
Only you
F
Kila njia ya mtu ni sawa,
Bb
F
machoni pake mwenyewe
C
F
C
F
Bali bwana upima mioyo
Bb
Mawazo tuliyonayo nafaham
F
naweza kujiona watakatifu
C
Ila mbele zake hasara roho ni
Bb
Jinyenyekeze mbele zake
F
tupate thawabu milele
C
Kwa kumtumikia yeye tu
F
Yeye anaponyaa,
Bb
F
anaokoa halo halo halo
C
Kwangu ni mwaminifu
Bb
Nitapolemewa na mizigo
F
Magonjwa na mateso sina
C
F
wasiwasi tena
Bb
Nipitapo uvuli wa mauti bwana
F
Gongo Lako na fimbo yako
vinanifarijii bwana
C
Verse 5
F
Umenifanya wa thamani umenitoa
F
Umenikung'uta mavumbi,
C
ukanibariki
F
Bb
Umenifanya hodari, ukanipa ujasiri
F
C
Niliyekuwa sifai, ukanibariki
Iyee
Verse 6
F
Bb
Only you Jesus
F
Simba wa yuda (Only you)
C
Only you (my god)
Hakuna kama wewe (Only
Bb
Nitang'ang'ana na wewe (Jesus)
F
Jesus (only you),
C
Ni wewe pekee yako tu (my God)
F
Eehhh (only you)
Bb
Baba wa huruma ehh (Jesus)
F
Mwingi wa rehema ehh (Only you)
C
Hakuna kama wewe (My God)
Mwenye kutoa buree (only
Unayetupenda (Jesus)
Bb
F
Only you
C
Yesu wangu (My God)
Baba yangu
¿Qué te pareció la canción?
AfinadorE A D G B E
AcordesF Bb C
Canciones relacionadas
Descubre acordes para más canciones que tocar
Acordes populares a nivel mundial
Acordes y tablaturas más tocados entre todos los usuarios
Añadido recientemente
Acordes y tablaturas añadidos recientemente
